Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro,Mh. Leonidas Gama akichangia katika kituo cha damu salama Kilimanjaro siku ya ijumaa tarehe 19/10/2012 hii ni mara ya pili mwaka huu kwa Mheshimiwa Gama kuchangia baada ya kuchangia mwezi juni 2012 wakati wa maadhimisho ya siku ya wachangia damu duniani ambayo kitaifa yalifanyika mkoani hapo.
Home
Unlabelled
WANANCHI WANAHAMASISHWA KUCHANGIA DAMU KWA HIARI KUOKOA MAISHA YA WAGONJWA WANAOHITAJI DAMU HOSPITALINI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
This RC needs to do something about his weight!!
ReplyDeleteKweli kabisa,
ReplyDeleteHuyo RC ye ana damu nyingi sana so alitakiwa achangie angalau NUSU ya damu yake yote ya mwilini mwake